ANGALIA LIVE NEWS

Friday, November 7, 2014

MSANII HAFSA KAZINJA SASA ANAITWA CHRISTINA KAZINJA

Msanii wa Bongo Fleva Hasfa Kazinja ameandika kwenye ukurasa wake wa facebook kwamba amebadili dini na sasa anajulikana kama Christina Kazinja, msanii huyo ambaye maarufu kama malikia wa Zouk na aliyetamba na wimbo wake wa pressure aliomshirikisha msanii mwingine wa Bongo Fleva Banana Zorro.

Hapa chini ndicho alichokiandika kwenye ukurasa wake wa facebook.

3 comments:

Anonymous said...

Inna Lilah waina ilaihi rajiuun

Anonymous said...

MWACHE AENDE MWANAKWENA HUKO AKUTAKAKO.

Anonymous said...

Huenda ukafanikiwa huko ulipokwenda,nakutakia maisha mema.