Advertisements

Saturday, December 13, 2014

MPIRA UKWISHA SIMBA 2 YANGA 0 NANI MTANI JEMBE


Wachezaji wa timu ya Simba wakishangilia bao la pili lililofungwa na Elias Maguli katika dakika ya 40 ya kipindi cha kwanza. Mabao yote ya Simba yamefungwa katika kipindi cha kwanza huku bao la kwanza likifungwa na Awadh Juma katika dakika ya 30.
Mashabiki wa Simba wakishangilia moja ya mabao yaliyofungwa na timu yao.
Andreu Coutihno, akimiliki mpira katikati ya mabeki wa Simba...
Mchezaji mpya wa Yanga, kutoka nchini Liberia, Kpah Sherman. akisomba kijiji cha mabeki wa Simba.... Hadi hivi sasa tayari jumla ya mashabiki wanne wa rimu ya Yanga wameshazimia uwanjani hapo. KWA MATUKIO ZAIDI YA PICHA KAA NASI YATAKUJIA HAPO BAADAY

Picha kwa hisani ya Sufiani Mafoto

No comments: