Advertisements

Saturday, February 14, 2015

KUTOKA AMBONI TANGA POLISI YATOA TAMKOA HALI NI SHWARI

Baadhi ya magari ya Polisi yakiwa kwenye moja ya barabara ya kuelekea Mapango ya Amboni, wakati wa Doria maalum iliyoanza jana baada ya eneo hilo kuvamiwa na waliodaiwa kuwa ni Magaidi wa Al- Shabaab. Hata hivyo Polisi Mkoa wa Tanga leo imetoa tamko kuwa hali katika mapango hayo ni shwari baada ya kufanikiwa kuwatimua watu hao walioonekana kutimkia mpakani mwa nchi ya Kenya.
Sehemu ya mawe ya Msitu wa Amboni...
Baadhi ya askari Polisi wakiwa katika doria, ambapo imeelezwa kuwa jumla ya askari wanne wamejeruhiwa katika tukio hilo.
Source:Sufianimafoto

No comments: