Advertisements

Saturday, February 21, 2015

WANA DMV WAJITOKEZA KUMPA POLE STEVE MSUNGU.

IMG_0482Kushoto Bw.Tumaini Katule akiwa kwenye kumfariji mfiwa Bw.Stephen Msungu nyumbani kwake Savern Md.Ijumaa Februari 20,2015. Steve amefiwa na baba yake mzazi Mzee Peter Msungu aliyefariki Ijumaa February 20 jijini Daressalaam Tanzania. IMG_0470Baadhi ya wakazi wa DMV Kie, Edda, Mametha na Melissa waliojitokeza msibani kuwafariji wafiwa. IMG_0477Hidaya Mahita. IMG_0481Kenny na Neema .
IMG_0484Melissa. IMG_0487Stephen,Vitalis na Vincent. IMG_0478Elinita. IMG_0479Kie na Edda.

1 comment:

Anonymous said...

jamani poleni sana wafiwa wote pamoja na ndugu na jamaa na marafiki poleni sana.
sote ndo njia yetu hii kuna siku na sisi tutakwenda ,tulimpenda sana marehemu but mungu kampenda sana.poleni sana katika wakati mguumu huu mungu akupeni moyo wa kustahamili.kazi ya mungu haina makosa.poleni sana.

from mdau yule yule.