Advertisements

Monday, June 1, 2015

HISTORIA YA TANZANIA NAUBAYA WA NYERERE PART 1

7 comments:

Anonymous said...

Hizi propaganda ili iweje?????

Anonymous said...

Choo cha shimo hakiwezi acha kunuka!!

Anonymous said...

HIvi kuna watu wanawasikiliza hawa wahuni na watu walichoka wasiojua wanachoongea. Mfanyabiashara na fundi saa hata analysis yake ni ya kichovu.

Anonymous said...

Nasikitika nimepoteza muda wangu kusikiliza pumba. Vijimambo tuwekeeni mahojiano yanayoelimisha na kujenga jamii!

Anonymous said...

Ukweli utabaki kuwa ukweli, hata kama unauma kiasi gani.

Anonymous said...

Kisa message imewagusa baba zenu ndio maana mnamuona hana mpango? Nawapa pole kwa jinsi mlivyo wachovu wa ufikiri. Nampa tano mzee wa watu ambaye ni mchovu wa maisha lakini sio mchovu wa akili. Kama kawa na unafiki wetu mijizi ma mitumbo yao ya bia na chips za EPA ndiyo siku zote inaoneka ina busara.

Anonymous said...

ANAONGEA UTUMBO, SIJUI VIJIMAMBO WANAWEKA NINI SIKU HIZI. ANATOKEA TABORA........BADALA YA KUFANYA KAZI KWA BIDII KUNYANYUA MAISHA YAKE ANAPIGA DOMO NA KUSUBIRI MISAADA YA MUSLIM WELFARE EAST AFRICA.....LIPUMBA WASAIDIE WENZAKO KAKA.