Advertisements

Tuesday, July 28, 2015

MH JUMA DUNI HAJI AZUNGUMZA UKARIBISHO WA MH EDWARD LOWASSA

Kada Mkongwe wa Chama cha wananchi CUF Juma Duni Haji amefunguka Mazito Kuhusu Ujio nwa Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli Mh Edward Lowassa anayetarajiwa Kujiunga na Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) Mh Duni Haji amepokea kwa Mikono miliwi ujio wa wa Kada huyo Mkongwe Kutoka Chama cha Mapinduzi

No comments: