Maafisa wa Ubalozi wa kudumu wa Umoja wa mataifa New York wakipata ukodak wa pamoja na Mhe. Liberata Mulamula, Ukiacha maafisa hao pia kulikuwa na Naibu mweka hazina wa New York Tanzania Community Dr Temba na Mwenyekiti wa tawi la CCM New York bwana Seif Akida. Kwa picha zaidi za siku hiyo unaweza kutembelea hapa. http://tembaphoto.com/index.php?user=7444&portfolio=1&sphoto=1
No comments:
Post a Comment