Advertisements

Thursday, July 9, 2015

WAHUNI WAMTENGENEZEA NAPE AKAUNTI FEKI KUJARIBU KUKIDHI KIU YAO

Kitengo chaMawasiliano na Umma katika Idara ya Itikadi na Uenezi, kinapenda kuujulisha uuma kwamba Akaunti yenye maneno hayo hayo hapo juu siyo ya Katibu wa NEC, Itikadi na Unezi Nape Nnauye, bali akaunti hiyo imetengenezwa na watu ambao tunaweza kuwaita kuwa ni wahuni kwa lengo la kutaka kukata kiu ya wanachojitaji. Mtakaoisoma taarifa hiyo eleweni kuwa si maneno ya Nape. Tabia hiyo siyo ya kiungwana na ya kimaadili katika matumizi ya mitandao ya Kijamii, ni vema wanaopenda tabia hii waiache kwa manufaa ya Tanzania

No comments: