Saturday, October 24, 2015

USAFARI WA NDANI TANZANIA NI STOP KESHO


Chama cha wamiliki wa mabasi Tanzania (TABOA) kimeamua kusitisha huduma zote siku ya October 25 ili kuwaruhusu madereva wake kupata nafasi ya kupiga kura kwenye siku kubwa ya Jumapili October 25.

Muweka hazina wa TABOA Issa Nkya ndio ameongea na ITV na kusema wanatambua Wafanyakazi wao nao wanatakiwa kuungana na Watanzania wengine kupiga kura hivyo hii siku wameruhusu wakaitumie vizuri.
Credit:MillardAyo.com


No comments: