Advertisements

Tuesday, December 1, 2015

Mazungumzo ya kutafuta muafaka wa mgogoro wa kisiasa Zanzibar,


Mazungumzo ya kutafuta muafaka wa mgogoro wa kisiasa Zanzibar, yameendelea tena jana Ikulu Zanzibar. 
Mazungumzo hayo yaliyowajumuisha viongozi watano wa kitaifa akiwamo Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohammed Shein na Makamu wa Kwanza wa Rais, Maalim Seif Sharif Hamad, yalichukuwa takriban saa sita. Mazungumzo hayo yalianza saa 4:00 asubuhi hadi saa 10:00 jioni huku kukiwa hakuna taarifa zozote zilizopatikana kilichofikiwa katika mazungumzo hayo.


No comments: