Advertisements

Tuesday, December 1, 2015

MHE. BALOZI WILSON M. MASILINGI, BALOZI WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGMZO NA MKURUGENZI MTENDAJI WA BENKI YA DUNIA, KANDA YA AFRIKA, BW. LOUIS RENE PETER LAROSE. TAREHE 30.11.2015 KATIKA OFISI YA BENKI YA DUNIA


Mhe. Wilson M. Masilingi, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani, (Katikati) akiwa na Bw. Louis Rene Peter Larose, Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Dunia, Kanda ya Afrika (mkono wa kushoto wa Balozi) Wengine Bw. Paul Mwafongo, Mwambata Uchumi wa Ubalozi (wa kwanza kushoto), Bw. Andrew Ndaamunhu, Mkurugenzi Mtendaji Mbadala, Kanda ya Afrika (wapili kushoto) na Bw. Wilson Toninga Banda, Mshauri, Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji (wa kwanza kulia)


Mhe. Balozi Wilson M. Masilingi (kushoto) katika picha ya pamoja na Bw. Louis Rene Peter Larose, Mkurugenzi Mtendaji, Kanda ya Afrika (kushoto), Ofisi za Benki ya Dunia


Mhe. Balozi Wilson M. Masilingi (kushoto) katika mazungumzo ofisini kwa mwenyeji wake Bw. Louis Rene Peter Larose.

2 comments:

Anonymous said...

The Magufuli effect at work!

Anonymous said...

Asante balozi Masilingi. Tunakusubiri ukutane na waTanzania wa DMV siku zinaenda!!