Wadau mbalimbali na marafiki zao wakijumuika pamoja kwenye siku ya Mtanzania iliyofanyika Jumamosi Desemba 5, 2015 jijini Seattle, jimbo la Washington nchini Marekani Pcha zaote na Aziza Hemed mwakilishi wa Vijimambo Seattle, WA.
Baadhi ya watoto wakiwa wamoja waliojumuika na wazazi wao katika kusherehekea siku ya Mtanzania iliyofanyika Jumamosi Desemba 5, 2015 jijini Seattle, jimbo la Washington nchini Marekani
Wadau wakijumuika pamoja na marafiki zao katika kusherehekea siku ya Mtanzania iliyofanyika Jumamosi Desemba 5, 2015 jijini Seattle, jimbo la Washington nchini Marekani
Siku ya Mtanzania ikijumuisha Watanzania waishio Settle na vitongoji vyake walipojumuika pamoja na marafiki zao kusherehekea siku hiyo iliyofanyika Jumamosi Desemba 5, 2015 jijini Seattle, jimbo la Washington nchini Marekani
Ni furaha kukutana, kucheka, kufurahi na kula pamoja kama walivyofanya Watanzania wa jimbo la Washington, Seattle katika siku ya Mtanzania iliyofanyika Jumamosi Desemba 5, 2015 jijini Seattle, jimbo la Washington nchini Marekani
Wadau mbalimbali na marafiki zao wakiwa katika kusherehekea siku ya Mtanzania iliyofanyika Jumamosi Desemba 5, 2015 jijini Seattle, jimbo la Washington nchini Marekani
No comments:
Post a Comment