Monday, December 7, 2015

WAPINGA COCO BEACH KUUZWA

Mwenyekiti wa Jukwaa Huru la Wazalendo Tanzania (JUHWATA), Ally Hapi akizungumza na waandishi wa habari, katika ukumbi wa Hoteli ya Travertine Ubungo jijini Dar es Salaam, kupinga hatua ya Mfanyabiashara mmoja wa jijini Dar es Salaam kutaka kuuziwa na Jiji Ufukwe wa Coco Beach, uliopo Oysterbay. Kulia ni Katibu Mkuu wa JUHWATA, Mtela Mwampamba. (Picha na Bashir Nkoromo).
-- 

No comments: