Monday, January 18, 2016

Tanzia: Mtunzi wa Ngoswe Penzi Kitovu cha Uzembe Afariki Dunia

Edwin Semzaba enzi ya uuhai wake
Yule mwandishi nguli wa Fasihi Tanzania, Edwin Semzaba afariki dunia (RIP).
Kwa wale wana Fasihi na wana UDSM & Tanzania kwa ujumla tumepatwa na msiba mkubwa sana leo.
Edwin Semzaba ni mwandishi wa kitabu maarufu cha Ngoswe - Penzi kitovu cha uzembe.
Bwana ametoa na Bwana ametwaa. Jina la bwana lihimidiwe!!

No comments: