VIJIMAMBO

ANGALIA LIVE NEWS

Saturday, March 19, 2016

MSUKUMA AMSEMA KIKWETE KWA MAJALIWA


Picha kutoka Maktaba
MSUKUMA AMSEMA KIKWETE KWA MAJALIWA

Mbunge wa Geita vijijini, Joseph Kasheku maarufu kama Msukuma ameyatoa ya moyoni kwa Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kuhusu mgogoro wa Machimbo ya Nyarugusu mkoani Geita akimvaa Rais Mstaafu, Dk. Jakaya Kikwete kuwa alishindwa kulitatua.
Msukuma ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Geita, alimueleza Waziri Mkuu kuwa suala hilo limekuwa likiwatatiza wakazi wa eneo hilo hususan wachimbaji wadogo kwa kipindi cha takribani miaka 30 na kwamba Dk. Kikwete aliahidi kulitatua suala hilo tangu alipokuwa Waziri wa Madini miaka ya 1990s lakini hata alipoingia Ikulu (2005 – 2015) alishindwa kulitatua.

“Hili tatizo la Nyarugusu ni la muda mrefu sana. Tuliliweka hadi kwenye ilani ya CCM mwaka 2010 na Kikwete aliwahi kwenda pale akaahidi kulishughulikia,” Msukuma anakaririwa.

Alisema kuwa Wananchi wa Mkoa huo wanaamini utendaji wa Waziri Mkuu hivyo wanaamini ataweza kulisimamia na kulitatua tatizo hilo.

Naye Waziri Mkuu aliwahakikishia wananchi hao kuwa wiki ijayo atamtuma Waziri wa Nishati na Madini, Sospeter Mhongo katika eneo hilo na kushirikiana na uongozi wa Mkoa wa Geita kulitatua tatizo hilo.

“Nitamuita Waziri mwenye dhamana [Mhongo] aje Geita pamoja na watalaam wa madini kwa ajili ya kulitafutia ufumbuzi. Wiki ijayo watafika hapa,” alisema Majaliwa.

Katika hatua nyingine, Waziri Mkuu aliwasimamisha kazi watumishi wawili na kuagiza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Geita kurudishwa Wizarani atakapopangiwa majukumu mengine.
at 2:34:00 PM
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

DJ Luke Joe

DJ Luke Joe

TANZANIA BLOGGERS' NETWORK

TANZANIA BLOGGERS' NETWORK

IskaJoJo Studios

IskaJoJo Studios

BEST MUSIC,BEST RATES

BEST MUSIC,BEST RATES
Music From The Past To The Present

RADIO YA UMOJA WA MATAIFA

RADIO YA UMOJA WA MATAIFA
TAARIFA YA HABARI & VYOMBO VYA HABARI

GENN RADIO

GENN RADIO
LISTEN LIVE

Clouds FM

Clouds FM
LISTEN LIVE

Radio Mbao

Radio Mbao
LISTEN LIVE

TONE ONLINE RADIO

TONE ONLINE RADIO
LISTEN LIVE

MJ RADIO

MJ RADIO
LISTERN ONLINE NOW

BONGO FLEVA

Tafuta

Kumbukumbu

Wadau

Tovuti na Blog Nyingine

  • 24 SEVEN 365
  • AL JAZEERA
  • BBC
  • BONGO CELEBRITY
  • BONGO STAR LINK
  • CHANGAMOTO YETU
  • CHEKA UPASUKE
  • CNN
  • DAILY NATION
  • DAILY NEWS
  • DINA MARIOS
  • DMK 411 BLOG
  • EBONY MAGAZINE
  • FACEBOOK
  • FIRST ROW SPORTS
  • FOX SOCCER
  • FULL SHANGWE
  • GENN MEDIA BLOG
  • GLOBAL PUBLISHERS
  • GSENGO BLOG
  • GUARDIAN UK
  • HABARI LEO
  • HAKI NGOWI
  • HIP HOP NEWS
  • IPP MEDIA
  • ISKAJOJO
  • JAMII BLOG
  • JIACHIE
  • K-VIS BLOG
  • KAHAWA TUNGU
  • KAMUSI
  • KITIME
  • KULIKONI
  • LADY JD
  • LILY MELODYY BLOG
  • LUNINGA
  • MAGANGA ONE
  • MAJIRA
  • MAMBOJAMBORADIO
  • MATUKIO
  • MAWASILIANO IKULU
  • MBEYA YETU
  • MICHUZI
  • MISS JESTINA GEORGE BLOG
  • MO BLOG
  • MOHAB MATUKIO
  • MTAA KWA MTAA BLOG
  • MWANANCHI
  • NAIROBI NEWS
  • NATION
  • NEW YORK TIMES
  • OTHMAN MAULID BLOG
  • PROFA
  • RAIA MWEMA
  • RED PEPPER
  • SAUTI TOKA NYIKANI
  • SHALUWA
  • SHAMIM
  • SPORT STAREHE
  • SPORTS SITE
  • STORM FM GEITA
  • SUBSONIC
  • SUFIANI MAFOTO
  • SUNDAY SHOMARI'S BLOG
  • SUPER SPORT
  • SWAHILI NA WASWAHILI
  • SWAHILI TV
  • SWAHILI VILLA
  • TAIFA JIPYA
  • TANZANIA BUSINESS DIRECTORY
  • TANZANIA DAIMA
  • TANZANIA GLAMOUR
  • TANZANIA HOTELS,WILDLIFE SAFARIS & CHEAP FLIGHTS
  • TAWICHITA
  • TEKNOHABARI
  • THA FUNK HOUSE
  • The Embassy of the United Republic of Tanzania in the United States
  • THE GLOBE AND MAIL
  • THE MONITOR
  • THE STANDARD
  • TMZ
  • TUNYFISH
  • TZMOMS
  • UHURU
  • UTNC
  • VOA-SWAHILI
  • WASHINGTON POST
  • WAVUTI
  • ZIMBIO

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

  • WASHIRIKI WAWILI WA MISS TANZANIA USA PAGEANT WALALAMIKIA MATOKEA HAYAKUWA YA HAKI, WASEMA JOY KALEMERA ANASTAHILI USHINDI WENGINE NI KWA SABABU YA UKABILA
    Julia Nyerere Hellena Nyerere Washiriki wa Miss Tanzania USA Pageant wana ndugu wawili, Julia Nyerere na Hellena Nyerere katika ukur...
  • PICHA ZINGINE ZA LOWASSA NDANI YA DALADALA JIJINI DAR LEO
    Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa akiwa ndani ya Daladala alilop...
  • HII NDO LIST YA WATU MAARUFU KUTOKA KENYA NA TANZANIA, AMBAO WAMETAJWA NA MTANDAO WA KENYA KUA NI MAFREEMASON. WOLPER NAE KATAJWA
    Inawezekana kila kitu kina wakati wake, kuna muda watu walikuwa wakisikia neno ‘Freemason’ ama ‘Illuminate’ kama inavyojulikana nchini ...
  • Open Letter to Tanzanian Women in the DMV Area
    Since I was a little girl my mother taught me that the word hate was a bad word and that I should never use it in regards to another human...
  • NJIA 60 ZA KUMFURAHISHA MUMEO.
    Katika mada yangu ya “njia 60 za kumfurahisha mkeo” niliahidi kuendelea na maudhui hii kwa kuwaletea mada ya “kumfurahisha mumeo”. Natanguli...
  • Diaspora marufuku kumiliki ardhi nchini Tanzania
    Tanzanians in the Diaspora continue to grapple with challenges that have seen most members either defrauded or lose confidence that th...
  • USIDANGANYIKE; PETE YA UCHUMBA SI NDOA!
    NAJIVUNIA kuwa na msomaji kama wewe, mwenye upeo mkubwa wa kufikiri na lengo la kujifunza kila siku. Wewe ni kiungo muhimu sana katika ...
  • MAHAKAMA YASEMA USHAHIDI WA TIMU LIBE HAUJITOSHELEZI NA OMBI LA KUSITISHA UONGOZI DMV LAKATALIWA
    Mwenyekiti wa Uchaguzi Mzee Safari Ohumay afunguka asema yeye hakusema uchaguzi ni Void alichosema kujibu tuhuma za aliyekua mgombea wa...
  • MWANADIASPORA LOVENESS MAMUYA ALONGA NA VIJIMAMBO (TOLEO MAALUM)
    MwanaDiaspora Loveness Mamuya akielezea historia yake kwa ufupi na ni kwanini amejitumbukiza kwenye kugombea Urais kwenye Jumuiya DMV na hi...
  • "HAKUNA MWANAMKE KWENDA KWENYE SHOW YA DIAMOND HUKO LONDON"......MANGE KIMAMBI
    Baada ya Diamond kusambaza clip ambayo inasikika Wema Akiongea nae ambayo Diamond Amesema kuwa Wema Alikuwa anajitongozesha...Mange Kim...

LIVE TRAFFIC FEED

© 2015 Vijimambo - All Rights Reserved
Powered by Blogger.

HIT COUNTER BY GOOGLE