VIJIMAMBO

ANGALIA LIVE NEWS

Saturday, March 19, 2016

MSUKUMA AMSEMA KIKWETE KWA MAJALIWA


Picha kutoka Maktaba
MSUKUMA AMSEMA KIKWETE KWA MAJALIWA

Mbunge wa Geita vijijini, Joseph Kasheku maarufu kama Msukuma ameyatoa ya moyoni kwa Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kuhusu mgogoro wa Machimbo ya Nyarugusu mkoani Geita akimvaa Rais Mstaafu, Dk. Jakaya Kikwete kuwa alishindwa kulitatua.
Msukuma ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Geita, alimueleza Waziri Mkuu kuwa suala hilo limekuwa likiwatatiza wakazi wa eneo hilo hususan wachimbaji wadogo kwa kipindi cha takribani miaka 30 na kwamba Dk. Kikwete aliahidi kulitatua suala hilo tangu alipokuwa Waziri wa Madini miaka ya 1990s lakini hata alipoingia Ikulu (2005 – 2015) alishindwa kulitatua.

“Hili tatizo la Nyarugusu ni la muda mrefu sana. Tuliliweka hadi kwenye ilani ya CCM mwaka 2010 na Kikwete aliwahi kwenda pale akaahidi kulishughulikia,” Msukuma anakaririwa.

Alisema kuwa Wananchi wa Mkoa huo wanaamini utendaji wa Waziri Mkuu hivyo wanaamini ataweza kulisimamia na kulitatua tatizo hilo.

Naye Waziri Mkuu aliwahakikishia wananchi hao kuwa wiki ijayo atamtuma Waziri wa Nishati na Madini, Sospeter Mhongo katika eneo hilo na kushirikiana na uongozi wa Mkoa wa Geita kulitatua tatizo hilo.

“Nitamuita Waziri mwenye dhamana [Mhongo] aje Geita pamoja na watalaam wa madini kwa ajili ya kulitafutia ufumbuzi. Wiki ijayo watafika hapa,” alisema Majaliwa.

Katika hatua nyingine, Waziri Mkuu aliwasimamisha kazi watumishi wawili na kuagiza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Geita kurudishwa Wizarani atakapopangiwa majukumu mengine.
at 2:34:00 PM
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

DJ Luke Joe

DJ Luke Joe

TANZANIA BLOGGERS' NETWORK

TANZANIA BLOGGERS' NETWORK

IskaJoJo Studios

IskaJoJo Studios

BEST MUSIC,BEST RATES

BEST MUSIC,BEST RATES
Music From The Past To The Present

RADIO YA UMOJA WA MATAIFA

RADIO YA UMOJA WA MATAIFA
TAARIFA YA HABARI & VYOMBO VYA HABARI

GENN RADIO

GENN RADIO
LISTEN LIVE

Clouds FM

Clouds FM
LISTEN LIVE

Radio Mbao

Radio Mbao
LISTEN LIVE

TONE ONLINE RADIO

TONE ONLINE RADIO
LISTEN LIVE

MJ RADIO

MJ RADIO
LISTERN ONLINE NOW

BONGO FLEVA

Tafuta

Kumbukumbu

Wadau

Tovuti na Blog Nyingine

  • 24 SEVEN 365
  • AL JAZEERA
  • BBC
  • BONGO CELEBRITY
  • BONGO STAR LINK
  • CHANGAMOTO YETU
  • CHEKA UPASUKE
  • CNN
  • DAILY NATION
  • DAILY NEWS
  • DINA MARIOS
  • DMK 411 BLOG
  • EBONY MAGAZINE
  • FACEBOOK
  • FIRST ROW SPORTS
  • FOX SOCCER
  • FULL SHANGWE
  • GENN MEDIA BLOG
  • GLOBAL PUBLISHERS
  • GSENGO BLOG
  • GUARDIAN UK
  • HABARI LEO
  • HAKI NGOWI
  • HIP HOP NEWS
  • IPP MEDIA
  • ISKAJOJO
  • JAMII BLOG
  • JIACHIE
  • K-VIS BLOG
  • KAHAWA TUNGU
  • KAMUSI
  • KITIME
  • KULIKONI
  • LADY JD
  • LILY MELODYY BLOG
  • LUNINGA
  • MAGANGA ONE
  • MAJIRA
  • MAMBOJAMBORADIO
  • MATUKIO
  • MAWASILIANO IKULU
  • MBEYA YETU
  • MICHUZI
  • MISS JESTINA GEORGE BLOG
  • MO BLOG
  • MOHAB MATUKIO
  • MTAA KWA MTAA BLOG
  • MWANANCHI
  • NAIROBI NEWS
  • NATION
  • NEW YORK TIMES
  • OTHMAN MAULID BLOG
  • PROFA
  • RAIA MWEMA
  • RED PEPPER
  • SAUTI TOKA NYIKANI
  • SHALUWA
  • SHAMIM
  • SPORT STAREHE
  • SPORTS SITE
  • STORM FM GEITA
  • SUBSONIC
  • SUFIANI MAFOTO
  • SUNDAY SHOMARI'S BLOG
  • SUPER SPORT
  • SWAHILI NA WASWAHILI
  • SWAHILI TV
  • SWAHILI VILLA
  • TAIFA JIPYA
  • TANZANIA BUSINESS DIRECTORY
  • TANZANIA DAIMA
  • TANZANIA GLAMOUR
  • TANZANIA HOTELS,WILDLIFE SAFARIS & CHEAP FLIGHTS
  • TAWICHITA
  • TEKNOHABARI
  • THA FUNK HOUSE
  • The Embassy of the United Republic of Tanzania in the United States
  • THE GLOBE AND MAIL
  • THE MONITOR
  • THE STANDARD
  • TMZ
  • TUNYFISH
  • TZMOMS
  • UHURU
  • UTNC
  • VOA-SWAHILI
  • WASHINGTON POST
  • WAVUTI
  • ZIMBIO

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

  • KURA ZA MAONI
    Watanzania DMV Vijimambo inaomba kura za maoni kutoka kwako kati ya Iddi Sandaly na Loveness Mamuya nani ni chaguo lako la Urais? TAFDHALI ...
  • WILL MAGUFULI SAVE TANZANIA?
                                                      BY MOHAMED MATOPE               I’m not the kind of guy who jumps in the political...
  • Serikali Yaweka Mkakati Kuhifadhi Aina 57 za Miti Hatarini Kutoweka
    Na Mwandishi Wetu, Dodoma Serikali imeanza utekelezaji wa mradi maalumu wa kuimarisha uhifadhi wa aina 57 za miti iliyo katika hatari kubwa ...
  • PATUTA YATOA WITO WA UMOJA, AMANI NA MARIDHIANO KWA MUSTAKABALI BORA WA TANZANIA
    Kilele cha Tamasha la Bulabo Kanda ya Ziwa 2026 kilichofanyika katika Viwanja vya Ngomeni, Kisesa – Mwanza, kimeacha funzo kubwa kwa jamii k...
  • TUME YA TAIFA YA UNESCO YASHIRIKI KIKAMILIFU KATIKA TAMASHA LA UTAMADUNI LA BULABO 2026
    Mwanza, Tanzania Tume ya Taifa ya UNESCO ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ilikuwa miongoni mwa taasisi zilizoshiriki kikamilifu katika Tam...
  • MFAHAMU: CELINA KOMBANI: MWANAMKE SHUPAVU ALIYETUMIKIA ULANGA NA TAIFA KWA UZALENDO.
    Mwandishi: Akwisuss Chabruma Student University of Dar es Salaam, College of social science ( CoSS), 0616438250 UTANGULIZI ✍🏼Katika histori...
  • Post Election Chaos! How did all this happen?
    Mizozo iliyokua ikiendelea kutokana na baadhi ya wapiga kura kuja na Pasi za kusafiria au green Card bila kuwa na anuani inayoonyesha an...
  • SIMULIZI YA KISHERIA: KESI YA REGINALD MENGI VS YUSUF MANJI (2011) MAPAMBANO YA VIGOGO WAWILI.
      ​​Imeandaliwa na Karim Gabriel Mussa Mwanasheria & Mchambuzi wa Sheria (KGM Attorneys) 0755 395 572. ​Leo tunatupa jicho kwenye moja y...
  • WADAU WA MADINI WAKUMBUSHWA KUZINGATIA SHERIA KUONGEZA MANUFAA KWA TAIFA
    📍DODOMA Wadau wa Sekta ya Madini wamehimizwa kuzingatia sheria, kanuni na taratibu zinazosimamia shughuli za madini ili kuhakikisha rasilim...
  • DC, MD, VA
    NDUGU WATANZANIA WA DMV NAPENDA KUWAOMBA RASMI  USHIRIKIANO WENU  KATIKA  ZOEZI HILI LA KUPIGA KURA  LITAKALO FANYIKA  JUMAPILI  TAREHE 15...

LIVE TRAFFIC FEED

© 2015 Vijimambo - All Rights Reserved
Powered by Blogger.

HIT COUNTER BY GOOGLE