VIJIMAMBO

ANGALIA LIVE NEWS

Saturday, March 19, 2016

MSUKUMA AMSEMA KIKWETE KWA MAJALIWA


Picha kutoka Maktaba
MSUKUMA AMSEMA KIKWETE KWA MAJALIWA

Mbunge wa Geita vijijini, Joseph Kasheku maarufu kama Msukuma ameyatoa ya moyoni kwa Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kuhusu mgogoro wa Machimbo ya Nyarugusu mkoani Geita akimvaa Rais Mstaafu, Dk. Jakaya Kikwete kuwa alishindwa kulitatua.
Msukuma ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Geita, alimueleza Waziri Mkuu kuwa suala hilo limekuwa likiwatatiza wakazi wa eneo hilo hususan wachimbaji wadogo kwa kipindi cha takribani miaka 30 na kwamba Dk. Kikwete aliahidi kulitatua suala hilo tangu alipokuwa Waziri wa Madini miaka ya 1990s lakini hata alipoingia Ikulu (2005 – 2015) alishindwa kulitatua.

“Hili tatizo la Nyarugusu ni la muda mrefu sana. Tuliliweka hadi kwenye ilani ya CCM mwaka 2010 na Kikwete aliwahi kwenda pale akaahidi kulishughulikia,” Msukuma anakaririwa.

Alisema kuwa Wananchi wa Mkoa huo wanaamini utendaji wa Waziri Mkuu hivyo wanaamini ataweza kulisimamia na kulitatua tatizo hilo.

Naye Waziri Mkuu aliwahakikishia wananchi hao kuwa wiki ijayo atamtuma Waziri wa Nishati na Madini, Sospeter Mhongo katika eneo hilo na kushirikiana na uongozi wa Mkoa wa Geita kulitatua tatizo hilo.

“Nitamuita Waziri mwenye dhamana [Mhongo] aje Geita pamoja na watalaam wa madini kwa ajili ya kulitafutia ufumbuzi. Wiki ijayo watafika hapa,” alisema Majaliwa.

Katika hatua nyingine, Waziri Mkuu aliwasimamisha kazi watumishi wawili na kuagiza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Geita kurudishwa Wizarani atakapopangiwa majukumu mengine.
at 2:34:00 PM
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

DJ Luke Joe

DJ Luke Joe

TANZANIA BLOGGERS' NETWORK

TANZANIA BLOGGERS' NETWORK

IskaJoJo Studios

IskaJoJo Studios

BEST MUSIC,BEST RATES

BEST MUSIC,BEST RATES
Music From The Past To The Present

RADIO YA UMOJA WA MATAIFA

RADIO YA UMOJA WA MATAIFA
TAARIFA YA HABARI & VYOMBO VYA HABARI

GENN RADIO

GENN RADIO
LISTEN LIVE

Clouds FM

Clouds FM
LISTEN LIVE

Radio Mbao

Radio Mbao
LISTEN LIVE

TONE ONLINE RADIO

TONE ONLINE RADIO
LISTEN LIVE

MJ RADIO

MJ RADIO
LISTERN ONLINE NOW

BONGO FLEVA

Tafuta

Kumbukumbu

Wadau

Tovuti na Blog Nyingine

  • 24 SEVEN 365
  • AL JAZEERA
  • BBC
  • BONGO CELEBRITY
  • BONGO STAR LINK
  • CHANGAMOTO YETU
  • CHEKA UPASUKE
  • CNN
  • DAILY NATION
  • DAILY NEWS
  • DINA MARIOS
  • DMK 411 BLOG
  • EBONY MAGAZINE
  • FACEBOOK
  • FIRST ROW SPORTS
  • FOX SOCCER
  • FULL SHANGWE
  • GENN MEDIA BLOG
  • GLOBAL PUBLISHERS
  • GSENGO BLOG
  • GUARDIAN UK
  • HABARI LEO
  • HAKI NGOWI
  • HIP HOP NEWS
  • IPP MEDIA
  • ISKAJOJO
  • JAMII BLOG
  • JIACHIE
  • K-VIS BLOG
  • KAHAWA TUNGU
  • KAMUSI
  • KITIME
  • KULIKONI
  • LADY JD
  • LILY MELODYY BLOG
  • LUNINGA
  • MAGANGA ONE
  • MAJIRA
  • MAMBOJAMBORADIO
  • MATUKIO
  • MAWASILIANO IKULU
  • MBEYA YETU
  • MICHUZI
  • MISS JESTINA GEORGE BLOG
  • MO BLOG
  • MOHAB MATUKIO
  • MTAA KWA MTAA BLOG
  • MWANANCHI
  • NAIROBI NEWS
  • NATION
  • NEW YORK TIMES
  • OTHMAN MAULID BLOG
  • PROFA
  • RAIA MWEMA
  • RED PEPPER
  • SAUTI TOKA NYIKANI
  • SHALUWA
  • SHAMIM
  • SPORT STAREHE
  • SPORTS SITE
  • STORM FM GEITA
  • SUBSONIC
  • SUFIANI MAFOTO
  • SUNDAY SHOMARI'S BLOG
  • SUPER SPORT
  • SWAHILI NA WASWAHILI
  • SWAHILI TV
  • SWAHILI VILLA
  • TAIFA JIPYA
  • TANZANIA BUSINESS DIRECTORY
  • TANZANIA DAIMA
  • TANZANIA GLAMOUR
  • TANZANIA HOTELS,WILDLIFE SAFARIS & CHEAP FLIGHTS
  • TAWICHITA
  • TEKNOHABARI
  • THA FUNK HOUSE
  • The Embassy of the United Republic of Tanzania in the United States
  • THE GLOBE AND MAIL
  • THE MONITOR
  • THE STANDARD
  • TMZ
  • TUNYFISH
  • TZMOMS
  • UHURU
  • UTNC
  • VOA-SWAHILI
  • WASHINGTON POST
  • WAVUTI
  • ZIMBIO

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

  • PRE 2ND ANNUAL TANZANIAN LADIES NIGHT BASH - MEET AND MINGLE
    leo ndiyo leo, karibuni wooote !! Kiingilio ni BURE na shughuli ya leo ni kwa wakina mama na wakina baba BEATRICE ADEL & MAXWE...
  • Linda Bezuidenhout is the official designer of thee Ms. Georgia Plus America 2014, Ms.
    Tanzanian Designer based in Atlanta Linda Bezuidenhout ( LB ) will design a formal gown for Ms. Tanesha, that will be worn at the Nationa...
  • Diaspora marufuku kumiliki ardhi nchini Tanzania
    Tanzanians in the Diaspora continue to grapple with challenges that have seen most members either defrauded or lose confidence that th...
  • Open Letter to Tanzanian Women in the DMV Area
    Since I was a little girl my mother taught me that the word hate was a bad word and that I should never use it in regards to another human...
  • HII NDO LIST YA WATU MAARUFU KUTOKA KENYA NA TANZANIA, AMBAO WAMETAJWA NA MTANDAO WA KENYA KUA NI MAFREEMASON. WOLPER NAE KATAJWA
    Inawezekana kila kitu kina wakati wake, kuna muda watu walikuwa wakisikia neno ‘Freemason’ ama ‘Illuminate’ kama inavyojulikana nchini ...
  • Is Cristiano Ronaldo gay? The difference between rumors and facts
    It's important for everyone to understand that this question might come up for a variety of reasons. There will be people raising the ...
  • CESILIA FRANCIS AFANYA MNUSO WA KUJIPONGEZA
    Cesilia Francis akiingia ukumbini siku ya Ijumaa May 6, 2016 Clinton, Maryland Cesilia Francis akipata ukodak na mumewe. Cesilia...
  • Bad luck, Kim: Nicki Minaj is queen of the rears...as we see how celebrities measure up in battle of the booties
    CELEBRITY WAIST - HIP RATIO  TOP 10 The question ‘Does my bum look big in this?’ used to set fear into the heart of many women, but ...
  • PICHA 20 ZA MADEM WA TEAM YANGA WALIVYOPENDEZA KUWASUBIRIA SIMBA HABARI NDIYO HII
    Mambo hipo uku kama wewe ni mnazi wa Yanga basi pitia hizi picha warembo wa Yanga wako tayari kuwasubiri Simba wknd hii Uwanja wa Taifa. ...
  • WAKIMBIZI WA BURUNDI KUANZA KUREJEA KWAO SEPTEMBA 7 MWAKA HUU
     Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba, akibadilishana nyaraka na Mwakilishi wa Shirika la Kuhudumia Wakimbizi Duniani (UNHCR...

LIVE TRAFFIC FEED

© 2015 Vijimambo - All Rights Reserved
Powered by Blogger.

HIT COUNTER BY GOOGLE