ANGALIA LIVE NEWS

Wednesday, April 20, 2016

Mwili Uliozama na Gari Baharini Jijini Dar es Salaam Wapatikana

Waokoaji wakitoa mwili katika maji baada ya juzama na gari leo alfajiri.
Mchana  huu  umepatikana mwili wa pili  wa Nice Karagwe  huku zoezi la kuitoa gari likiendelea 
Mwili ukipelekwa kwenye gari la polisi kwa ajili ya uchunguzi zaidi

Gari lapolisi likiondoka na mwili wa mtu aliyefariki baada ya kuzama na gari aina ya Hiace leo alfajiri

No comments: