Advertisements

Monday, April 25, 2016

PICHA ZA MAJIVU YA MWILI WA PRINCE YAKIINGIZWA KWENYE GARI ZAONEKANA

Majivu ya mwili wa mwanamuziki nyota Prince ulichukuliwa ukiwa umebebwa kwenye chombo kilichofunikwa na koti jeusi na kuingizwa kweye gari punde tu baada ya kuchomwa moto.

Prince ambaye ni muumini wa dhehebu la dini ya Mashahidi wa Yehova aliacha wosia mwili wake kuchomwa na kufanyiwa maziko ya siri na ya kawaida yaliyogharimu dola 1,600.
  Majivu ya Mwili wa Prince yakiingizwa kwenye gari huku dada wa marehemu Tyka Nelson akishuhudia


        Dada wa marehemu Prince, Tyka Nelson, akiwa na majonzi mazito

No comments: