Advertisements

Tuesday, May 31, 2016

NAPE AWASHA UMEME KATA YA NACHUNYU

 Mbunge wa Jimbo la Mtama ambaye pia ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akihutubia wakazi wa kata ya Nachunyu kwenye mkutano maalum wa kuwasha umeme kijijini hapo ambapo aliwaambia wananchi hao kuwa kila jambo aliloliahidi litakamilika mapema.

 Wakazi wa kijiji cha Nachunyu jimbo la Mtama wakiwa wamejitokeza kwa wingi kushuhudia uwashaji wa umeme kijijini hapo uliofanywa na Mbunge wa Jimbo la Mtama ambaye pia ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye.

 Mbunge wa Jimbo la Mtama ambaye pia ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye
 Mbunge wa Jimbo la Mtama ambaye pia ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akikata utepe kuashiria uwashaji wa umeme katika kata ya Nachunyu.
 Mbunge wa Jimbo la Mtama ambaye pia ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye (kulia) akifungua kitambaa kama ishala ya uwashaji wa umeme katikakata ya Nachunyu.
 Mbunge wa Jimbo la Mtama ambaye pia ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akiwasha taa kuashilia kuwashwa umeme katika kata ya Nachunyu.


 Mbunge wa Jimbo la Mtama ambaye pia ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akizungumza na wananchi wa Nachunyu mara baada ya kuwasha umeme katika kata ya Nachunyu.

No comments: