Waumini wa dini ya kiislamu Mkoa wa Mbeya pamoja na wadau mbalimbali wakifuturu futali iliyoandaliwa na benki Kuu ya Tanzania (BOT)Tawi la Mbeya ambapo benki hiyo ipo katika kuadhimisha miaka ya hamsini ya kuanzishwa kwake.Picha E.Madafa na D.Nyembe
Wageni waalikwa ,viongozi wa serikali na viongozi wa dini mbalimbali mkoani Mbeya wakipita kupata futari kwenye ukumbi wa benki kuu Tanzania( BOT) tawi la Mbeya .
Mkurugenzi wa benki kuu Tanzania( BOT) tawi la mbeya Jovenant Rushaka akiongoza kupata futari.
Wafanyakazi benki kuu Tanzania tawi la Mbeya wakipata futari
Wageni waalikwa Viongozi wa serikali na wadau mbalimbali wakibadilishana mawazo pamoja na kupata futari iliyoandaliwa na benki kuu Tanzania(BOT) kama sehemu ya kuadhimisha miaka 50 ya kuanzishwa kwa benki hiyo.
wadau wakipata futari.
1 comment:
Jamani tutaendelea lini, fashion ya toothpicks haha kwenye picha. You can't do that especially watu bado wanakula on the same table.
Post a Comment