Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt. Augustine Mahiga (Mb) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kwenye Hafla ya kukabidhi Madawati 300 kutoka Ubalozi wa Kuwait hapa nchini. Balozi Jasem Al Najem ndio aliyokabidhi msaada huo wa madawati.
Juu na Chini ni sehemu ya Wakurugenzi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wakimsikiliza kwa Makini Waziri Mahiga alipokuwa akizungumza na waandishi wa Habari (hawapo pichani)
Sehemu nyingine ya Wakuu Idara na Vitengo kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki.
Balozi Najem akiendelea kuzungumza
Waziri Mahiga (kulia), Balozi Najem na Mkurugenzi wa Idara ya Mashariki ya Kati, Balozi Abdallah Kilima, kwa pamoja wakiwa wamekaa kwenye madawati yaliyotolewa na Ubalozi wa Kuwait hapa nchini.
Waziri Mahiga na Balozi Najem wakiwa katika picha ya pamoja na wakuu wa Idara na Vitego mara baada ya kumaliza mkutano na waandishi wa habari
No comments:
Post a Comment