Advertisements

Monday, July 4, 2016

JAJI MKUU ATEMBELEA BANDA LA GLOBAL LINK EDUCATION VIWANJA VYA SABASABA

 Jaji Mkuu , Othman Chande,  akiwasili Viwanja vya maonesho ya 40 ya Biashara ya Kimataifa Viwanja vya  Mwalimu Nyerere (Sabasaba) jijini Dar es Salaam.
 Jaji Mkuu , Othman Chande akipata maelezo kutoka kwa  Mkurugenzi  wa  Global Link Education, Abdumalik Mollel, wakati alipotembelea banda hilo katika maonesho ya 40 ya Biashara ya Kimataifa katika viwanja  vya Mwalimu Nyerere (Sabasaba) jijini Dar es Salaam.
 Jaji Mkuu ,Othman Chande akiongozwa na Mkurugenzi wa  Global Link Education, Abdumalik Mollel, wakati alipokuwa akitembelea  kuangalia huduma mbalimbali kwenye Banda hilo jinsi Wananchi wanavyoweza  kujiunga na vyuo vya nje ya nchi, wakati akiwa katika maonesho ya 40 ya Biashara ya Kimataifa Viwanja  vya Mwalimu Nyerere (Sabasaba) jijini Dar es Salaam.
Jaji Mkuu Othman Chande,  akioneshwa  na Mkurugenzi wa  Global Link Education, Abdumalik Mollel, Tuzo mbalimbali walizowahi kutunukiwa.
 Jaji Mkuu Othman Chande,  akioneshwa  na Mkurugenzi wa  Global Link Education, Abdumalik Mollel, Tuzo mbalimbali walizowahi kutunukiwa.
 Jaji Mkuu , Othman Chande,  akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi wa  Global Link Education, Abdumalik Mollel alipotembelea banda hilo.
Sehemu ya wananchi wakipata huduma katika banda hilo la Global Link Education.

No comments: