Advertisements

Tuesday, August 2, 2016

ARGENTINA YA MTEUA BAUZA KUWA KOCHA MPYA

Chama cha soka cha Argentina (AFA)kimemteua kocha Edgardo Bauza kuwa kocha mkuu wa timu ya taifa.
Kocha huyu anachukua nafasi iliyoachwa na Gerardo “Tata” Martino aliyejiuzulu baada ya kumalizika kwa michuano ya kombe la Copa America.

AFA walimtangaza kocha huyo baada ya klabu ya Sao Paulo kukubali kumuachia kocha huyo kwenda kukinoa kikosi cha timu ya taifa ya Argentina.
Bauza, mwenye umri wa miaka 58,alikua kocha mkuu mkuu wa klabu ya Sau Paulo toka mwaka 2015 na kuisaidia kufika nusu fainali ya michuano ya Copa Libertadores.

No comments: