Advertisements

Thursday, August 4, 2016

ASYA NA WANAMITINDO WENGINE KUTIMUA VUMBI DALLAS TEXAS JUMAMOSI HII

Panapo majaliwa kama tutafanikiwa kuiona siku ya Tarehe 6/8/2016 tambua kuwa Kwenye yale mambo yetu ya Fashion Mama wa mitindo maarufu kama Asya Idarous Khamsin kutoka Tanzania pamoja na wanamitindo wengine watatimua vumbu katika onesho kubwa la Mitindo "Kenya Woman Reunion" linalo tarajia kufanyika huko Dallas Texas. Kama wewe ni mmoja kati ya wadau wa Tasnia ya mitindo endelea ku-Suport Mitindo ya Tanzania.

No comments: