DC Mtaturu akizungumza na viongozi
wa ngazi ya juu katika Hospitali Teule ya Wilaya ya ikungi Makiungu
mara baada ya kuwasili katika Hospitali hiyo.
Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Miraji
Jumanne Mtaturu akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa Hospitali
ya Malkia wa ulimwengu, Na baadhi ya wajumbe wa kamati ya ulinzi na
usalama Wilaya.
Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Miraji
Jumanne Mtaturu akikagua Mtambo wa oxygen jinsi unavyofanya kazi mara
baada ya kuzuru katika Hospitali Teuli ya Wilaya
Baadhi ya wagonjwa wakiwa katika
hali ya ahueni mara baada ya kulazwa katika Hospitali ya Malkia wa
Ulimwengu iliyopo katika Kijiji cha Puma
Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Miraji
Jumanne Mtaturu akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa Hospitali
ya Malkia wa ulimwengu, Na baadhi ya wajumbe wa kamati ya ulinzi na
usalama Wilaya
No comments:
Post a Comment