Advertisements

Friday, August 12, 2016

UJENZI WA MADUKA YA KISASA KATIKA ENEO LA DARAJANI MAKONTENA

Michoro ya ujenzi wa maduka ya Kisasa katika eneo la Darajani Makontena baada ya kuondolewa makontena hayo kwa kupisha ujenzi huu wa kileo kama inavyoonekana michoro ya eneo hilo la darajani litakavyokuwa baada ya ujenzi wake wa maduka ya kisasa.
Mhandishi Yassir Dicosta akitowa maelezo ya michoro ya ujenzi wa maduka ya kisasa katika eneo la darajani baada ya kuondolewa kwa makontena hayo, akitowa maelezo hayo kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Idara Maalum Mhe Haji Omar Kheri alipofanya ziara ya kutembelea eneo hilo la darajani. 

No comments: