Chief Mwakalinga akiongea mbele ya wageni walioenda kumpapole kwa kufiwa na kaka yake huko Tanzania. Hapa ni nyumnani kwa Chief Mwakalinga huko Poughkeepsie NY.
Kama ilivyodesturi yetu, tujitokeze kuwafariji wafiwa na kushirikiana nao katika kipindi hiki kigumu.
Ukitaka kufika nyumbani kwa Chief
ADDRESS:
9 Thornberry Way
Poughkeepsie, NY 12603.
Kwa taarifa zaidi, wasiliana na;
Beston Mwakalinga - 845 219 4606
Jackline Kamazima - 614 312 8611
Bwana ametoa na bwana ametwaa jina lake lihimidiwe. Amen
Uongozi NYTC
Mwenyekiti wa NYCT Bwana Mwingira akiongea nyumbani hapo.
1 comment:
Wafiwa poleni sana.
Post a Comment