Advertisements

Wednesday, October 5, 2016

Naibu Katibu Mkuu TAMISEMI-Afya Dkt.Zainabu Chaula atembelea Wizara ya Afya

Naibu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI-Afya Dkt. Zainabu Chaula akisalimiana na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mh. Ummy Mwalimu wakati alipotembelea Wizarani hapo mapema jana Oktoba 4.2016
Naibu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI-Afya Dkt. Zainabu Chaula akisalimiana na Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Mpoki Ulisubisya alipomtembelea ofisini kwake Wizarani jana Oktoba 4.2016.
Naibu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI-Afya Dkt. Zainabu Chaula akifuatiwa na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mh. Ummy Mwalimu pamoja na Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya Dkt. Mpoki Ulisubisya
Picha ya pamoja: Naibu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI-Afya Dkt. Zainabu Chaula akifuatiwa na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mh. Ummy Mwalimu, Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya Dkt. Mpoki Ulisubisya na Katibu Mkuu Maendeleo ya Jamii, Mh. Siaba Nkinga.

Naibu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI-Afya Dkt. Zainabu Chaula ametembelea Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto na kukutana na Waziri Mh. Ummy Mwalimu pamoja na Makatibu wa Wizara hiyo.

Dk. Zainabu Chaula ametembelea Wizara hiyo hii ni baada ya kuapishwa rasmi na Ikulu Jijini Dar e Salaam na Rais Dk. John Pombe Magufuli, Septemba 26.2016. Akiwa Wizarani hapo amepata kufanya mazungumzo ya kiutendaji kwa pamoja akiwemo Waziri Afya na Makatibu wake.

Mwisho.

No comments: