Advertisements

Tuesday, November 1, 2016

LOWASSA NA SUMAYE WAIBUKIA BUNGENI DODOMA

Aliyekuwa Mgombea wa Urais kwa tiketi ya Chadema, Edward Lowassa na Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye leo asubuhi wamehudhuria Bungeni ambapo kimeanza kikao cha kwanza cha mkutano wa tano wa Bunge la 11, mjini Dodoma.
Mawaziri hao wastaafu walioihama CCM na kuhamia CHADEMA walikwenda mjini Dodoma kutoa somo kwa wabunge wa UKAWA jinsi ya kukabiliana na wabunge wa CCM wakiwa ndani ya ukumbi wa Bunge.



No comments: