Advertisements

Sunday, January 15, 2017

JOSEPH MWANUKUZI NA MARIAM WAMEREMETA LEO

 Joseph Mwanukuzi akiwa amepozi na mke wake Mariam wakati wa Ibada ya Ndoa yao iliyofanyika katika Kanisa la St. Peter Oysterbay jijini Dar es Salaam leo.
Joe na mke wake wakielekea kula kiapo cha ndoa.
Joseph akimvisha pete ya ndoa mke wake Mariam.

BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

No comments: