Mwakilishi wa kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa mjini New York Marekani, Balozi Modest Mero anawakaribisha nyumbani kwake kwenye iftar ya pamoja kama kipeperushi kinavyoonekana hapo juu. Tafadhali zingatia muda.
Asante
Gaston Mkapa
M/ Mwenyekiti
NYTC
No comments:
Post a Comment