Hivi huyu kweli anataka kuuza gari au utani mil 55 gari inamiaka 17 anacheza huyu
Achana Na Chizi Huyo.
Hii55 millioni hi kama US $27,500. Mtu anaweza kupata gari mpya kabisa, yaani brand new. Kweli huu mtumba wa Landcruiser uuzwe kwa million 55? Watu kweli hawafikirii kabla ya kuweka matangazo. Au hiyo gari inazaa gari mtoto?
Post a Comment
3 comments:
Hivi huyu kweli anataka kuuza gari au utani mil 55 gari inamiaka 17 anacheza huyu
Achana Na Chizi Huyo.
Hii55 millioni hi kama US $27,500. Mtu anaweza kupata gari mpya kabisa, yaani brand new. Kweli huu mtumba wa Landcruiser uuzwe kwa million 55? Watu kweli hawafikirii kabla ya kuweka matangazo. Au hiyo gari inazaa gari mtoto?
Post a Comment