Advertisements

Monday, December 25, 2017

MAPOKEZI YA MAKAMU MWENYEKITI WA CCM ZANZIBAR LEO UKUMBI WA CCM MKOA WA MJINI AMAAN UNGUJA

 MAKAMU Mwenyekiti  wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mjini Talib Ali Talib, alipowasili katika viwanja vya Afiisi ya CCM Mkoa wa Mjini Amani wakati wa mapokezi yake
 MAKAMU Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akifungwa kiskafu na Vijana wa Chipukizi wa Mkoa wakati wa mapokezi yake alipowasili katika Viwanja vya Afisi ya CCM Mkoa wa Mjini Amaan
 MAKAMU Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akiangalia ngoma ya kibati wakati wa mapokezi yake yalioandaliwa katika viwanja Afisi Kuu ya CCM Mkoa wa Mjini Amani, baada ya kuwasili Zanzibar wiki iliopita akitokea Dodoma katika Mkutano Mkuu wa CCM na kuchaguliwa tena kushika nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar kwa kura nyingi.
 WANACHAMA wa CCM wa Mikoa ya Zanzibar wakimpokea Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein, alipowasili katika Ukumbi wa Mikutano wa Afisi ya CCM Mkoa wa Mjini Amani wakati wa mapokezi yake.
 MAKAMU Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akiwa na Viongozi wa CCM meza kuu wakisimama baada ya kuwasili katika ukumbi wa mkutano Afisi ya CCM Mkoa wa Mjini Amani Zanzibar.
 BAADHI ya Wanachama wa CCM wa Mikoa ya Zanzibar wakiwa katika ukumbi wa Mkutano Afisi ya CCM Mkoa wa Mjini Amani wakimsikiliza Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein, akiwahutubia wakati wa hafla ya mapokezi yake Zanzibar.
 BAADHI ya Wanachama wa CCM wa Mikoa ya Zanzibar wakiwa katika ukumbi wa Mkutano Afisi ya CCM Mkoa wa Mjini Amani wakimsikiliza Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein, akiwahutubia wakati wa hafla ya mapokezi yake Zanzibar.
 KATIBU wa CCM Mkoa wa Mjini Unguja Mohammed Omar Nyawenga akitowa Salamu kwa Niaba ya Makatibu wa CCM wa Zanzibar wakati wa hafla ya mapokezi ya Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein, Afisi ya  Mkoa wa Mjini Amaan Unguja
 MWENYEKITI wa CCM Mkoa wa Kusini Unguja Ramadhan Abdalla Kichupa akitowa salamu kwa niaba ya Wenyeviti wa CCM Mikoa ya Zanzibar wakati wa hafla ya mapokezi ya Makamu Mwenyekiti yaliofanyika katika ukumbi wa CCM Amaan Zanzibar.
 KATIBU wa Chama cha TADEA Mhe Juma Ali Khatib akiwasalimia Wanachama wa CCM wakati wa mkutano huo wa hafla ya mapokezi ya Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar katika ukumbi wa mkutano Afisi ya CCM Amaan Zanzibar.
 Wanachama wa CCM wa Mikoa ya Zanzibar wakiwa katika ukumbi wa Mkutano Afisi ya CCM Mkoa wa Mjini Amani wakimsikiliza Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein, akiwahutubia wakati wa hafla ya mapokezi yake Zanzibar.
 MAKAMU Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akiwahutubia Wanachama wa CCM katika hafla ya mapokezi yake yaliofanyika katika Afisi Kuu ya CCM MKoa wa Mjini Amaan Zanzibar. baada ya kuwasili akitokea Dodoma wiki iliopita baada ya kuchaguliwa kwa mara ya Pili kushika nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar kwa kura nyingi katika mkutano Mkuu wa Tisa wa CCM uliofanyika Dodoma.
 MAKAMU Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akiwahutubia Wanachama wa CCM katika hafla ya mapokezi yake yaliofanyika katika Afisi Kuu ya CCM MKoa wa Mjini Amaan Zanzibar. baada ya kuwasili akitokea Dodoma wiki iliopita baada ya kuchaguliwa kwa mara ya Pili kushika nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar kwa kura nyingi katika mkutano Mkuu wa Tisa wa CCM uliofanyika Dodoma.
 MAKAMU Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akiwahutubia Wanachama wa CCM katika hafla ya mapokezi yake yaliofanyika katika Afisi Kuu ya CCM MKoa wa Mjini Amaan Zanzibar. baada ya kuwasili akitokea Dodoma wiki iliopita baada ya kuchaguliwa kwa mara ya Pili kushika nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar kwa kura nyingi katika mkutano Mkuu wa Tisa wa CCM uliofanyika Dodoma.
 MAKAMU Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akiwasalimia Wanachama wa CCM baada ya kumalizika kwa hafla hiyo ya mapokezi yake katika viwanja vya Afisi CCM Mkoa wa Mjini Unguja Amaan. Picha na IKULU

No comments: