MKUU wa Mkoa wa Pwani, Mhandisi Evarist Ndikilo akizungumza wakati wa kufunga mafunzo ya kampuni ya ulinzi ya Suma JKT kwenye kikosi cha Jeshi la Kujenga Taifa cha 832 Kj cha Ruvu Mlandizi - Kibaha.
Mkurugenzi wa kampuni ya ulinzi ya Suma JKT, Meja Alfred Mwaijande akizungumza wakati wa kufunga mafunzo ya kampuni ya ulinzi ya Suma Jkt kwenye kikosi cha Jeshi la Kujenga Taifa cha 832 Kj cha Ruvu Mlandizi - Kibaha.
Wahitimu wa mafunzo ya kampuni ya ulinzi ya Suma JKT wakiwa kwenye kufunga mafunzo ya kampuno ya ulinzi ya Suma JKT kwenye kikosi cha Jeshi la Kujenga Taifa cha 832 Kj cha Ruvu Mlandizi - Kibaha.(picha na Mwamvua Mwinyi)
No comments:
Post a Comment