Advertisements

Friday, January 12, 2018

LEO NI SIKU YA KUZALIWA KWA MDAU MUGANYIZI BISHEKO

 
Leo January 12, 2018 ni siku ya kuzaliwa kwa Ofisa Masoko Mwandamizi wa Bank of Africa Tanzania, Muganyizi Bisheko. Wote kwa pamoja tunapenda kukutakia heri na fanaka. Mwenyezi Mungu akujalie maisha marefu.


No comments: