Advertisements

Thursday, February 15, 2018

MAMBO YALIVYOKUWA MOTOOO ATLANTA,GA NDANI YA SAGE WOODFIRE TAVERN PERIMETER. GLORIA ALIPOJUMUIKA NA WATU WAKE WA NGUVU KUSHEHEREKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA KWA DINNER YA PAMOJA AMBAYO ILIFUATIWA NA MUZIKI.


Happy birthday Glory. TEAM YA VIJIMAMBO INAKUTAKIA AFYA NJEMA
TumaGlory akikata cake maalum ya kusheherekea siku yake ya kuzaliwa
Gloria akimlisha cake hubby wake
Digna na birthdat girl 
Lavender
Gloria's friends








Mrembo Digna akifurahi msosi wake

Glory na Hadija


Kakaz pia walijumuika kufurahi na Glory






Lolo
Mama na Lolo
Mama mzazi wa Agnes Makala akimpa hongera TumaGlory











Agnes wa Makalla akideka na mama yake 
Rose na Agnes









mambo yalikuwa ni motoooo

Dada kubwa akilishwa cake
mama akimlisha cake birthday girl

madolari yakiwa tayari kumwaga kwa birthday girl

Neema na Rachel
 
cake ikikatwa kila mmi apate ku enjoy
Mashallah tabasamu zuri



picha za hapa na pale




Sage palikuwa hapatoshi kwa jinsi mambo yalivyopendeza
















No comments: