Advertisements

Saturday, May 5, 2018

NAIBU SPIKA TULIA ACKSON AJIFUA KUJIANDAA NA MBIO ZA MTM KESHO

Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Tulia Ackson (katikati mbele) akiwaongoza baadhi ya wanamichezo Jijini Mbeya katika mazoezi ya kukimbia zaidi ya Kilomita 8 kutokea Uzunguni hadi kiwanja cha michezo Ruanda Nzovwe kujiandaa na Mbio za Mbeya Tulia Marathon (MTM) zinazofanyika kesho jijini Mbeya kuanzia saa 12 asubuhi katika Uwanja wa Sokoine. 

No comments: