Hapa ni Mzee John Stephen akiwa na mvinyo wake kiroho safi, Taswira mzima ya jinsi mambo yalivyokuwa yamebamba kuanzia ijumaa, jumamosi, jumapili mambo ya ukodak wa kwenye zuria jekundu.
Mambo ya mduara na vidole juu.
Mambo ya Okodak wa kwenye zuria mambo zaidi jitirirshe kwa kwenda soma zaidi
|
No comments:
Post a Comment