Advertisements

Wednesday, July 4, 2018

MFADHILI DAVIS MOSHA NA MKURUGENZI MKUU WA DELINA GROUP ADHAMINI JEZI ZA MTANANGE WA YANGA NA SIMBA WASHINGTON, DC, TIMU KUKABIDHIWA IJUMAA

Uzi wa Yanga kwa mbele
Uzi wa Yanga kwa nyuma
Uzi wa Simba kwa mbele
Uzi wa Simba kwa nyuma

Ijumaa July 6, 2018 matimu kepteni na makocha wa Simba na Yanga wakiwemo wa mpira wa kikapu watakua na mkutano na waandishi wa habari na siku hiyo timu za Yanga na Simba watakabiziwa uzi mpya wa mtanage wao unaosubiliwa kwa hamu

Mkutano wa waandishi wa habari utafanyika 4600 Powder Mill Rd
Beltsville MD 6 pm Karibuni

No comments: