Advertisements

Wednesday, August 1, 2018

KANGI LUGOLA, WAZIRI WA CANADA WAJADILI MASUALA YA WAKIMBIZI NCHINI

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola (kulia) akimfafanulia jambo Waziri wa Uhamiaji, Wakimbizi na Uraia wa nchini Canada, Ahmed Hussein (wapili kushoto). Katika kikao hicho kilichofanyika katika ofisi ndogo ya Wizara, jijini Dar es Salaam leo, viongozi hao walijadili masuala ya mbalimbali ya Wakimbizi pamoja na kuendeleza ushirikiano kati ya Tanzania na Canada. Wapili kulia ni Mkurugenzi wa Idara ya Wakimbizi, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Harrison Mseke. Watatu kushoto ni Balozi wa Canada nchini, Ian Myles. Na kushoto ni Kansela wa Masuala ya Uhamiaji wa Balozi huo hapa nchini, Erin Brouse. Picha zote na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola (kulia) akimsikiliza Waziri wa Uhamiaji, Wakimbizi na Uraia wa nchini Canada, Ahmed Hussein (wapili kushoto) alipokua akimfafanulia jambo katika kikao kilichofanyika katika ofisi ndogo ya Wizara, jijini Dar es Salaam leo, viongozi hao walijadili masuala ya mbalimbali ya Wakimbizi pamoja na kuendeleza ushirikiano kati ya Tanzania na Canada. Wapili kulia ni Mkurugenzi wa Idara ya Wakimbizi, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Harrison Mseke. Watatu kushoto ni Balozi wa Canada nchini, Ian Myles, na kushoto ni Kansela wa Masuala ya Uhamiaji wa Balozi huo hapa nchini, Erin Brouse.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola (kushoto) akimsindikiza Waziri wa Uhamiaji, Wakimbizi na Uraia wa nchini Canada, Ahmed Hussein, mara baada ya kumaliza kikao chao kilichojadilia masuala mbalimbali ya Wakimbizi pamoja na kuendeleza ushirikiano kati ya Tanzania na Canada. Katika kikao hicho kilifanyika katika ofisi ndogo ya Wizara, jijini Dar es Salaam leo.

No comments: