Wachezaji wa Simba SC wakiwa Uwanja wa Ndege tayari kurejea Tanzania
Wachezaji pamoja na benchi la Ufundi wakiwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Atatürk uliopo jijini Istanbul, Uturuki tayari kwa safari ya kurejea nyumbani Tanzania. Picha zote na Rabi Hume, Istanbul - Uturuki.
No comments:
Post a Comment