Mpendwa wetu Joshua Muzuma siku ya Jumatatu Oct 1, 2018 ndio ilikua safari yake ya mwisho, mazishi yalifanyika katika makaburi ya kinondoni.
Jeneza lililobeba mwili wa mpendwa wetu Joshua Muzuma likiwa tayari kwa kumpumzisha marehemu katika nyumba yake ya milele.
Mchungaji akiendelea na sala.
No comments:
Post a Comment