Advertisements

Thursday, January 10, 2019

RAIS DKT. SHEIN ATUNUKU NISHANI ZA MAPINDUZI NA UONGOZI ULIOTUKUKA VIWANJA VYA IKULU ZANZIBAR

 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akisoma kitabu cha Orodha ya Viongozi na Wananchi wanaotunukiwa Nishani katika viwanja vya Ikulu Zanzibar.
 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akimtunuku Nishani ya Mapinduzi kwa Viongozi Mhe. Omar Ramadhan Mapuri, hafla hiyo ya kutunuku Nishani ilifanyika katika viwanja vya Ikulu Zanzibar.
 AIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akimtunuku Nishaji ya Vikundi vya Uhamasishaji wa Bendi ya Safari Trippers ya Marehemu Marijan Rajab, akipokea Mwakilishi wa Familia Ndg Ismail Issa Michuzi, alikuwa Katibu na Mpiga Trumpet Dar International, hafla hiyo imefanyika katika viwanja vya Ikulu Zanzibar.
 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akimtunuku Nishaji ya Utumishi Uliotukuka Mwakilishi wa Marehemu Mussa Haji Foum, alikuwa Mwandishi wa Habari wa Vyombo vya Serikali vya Redio. akipokea kwa niaba ya Familia Mtoto wa Marehemu Bi.Inat Mussa Haji, hafla hiyo imefanyika katika Viwanja vya Ikulu Zanzibar.
 /RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akimtunuku Nishani ya Ushujaa ya kujitolea kupiga mbizi katika pango la maji dimani kuchukua sampu ya mchanga ili kuweza kupata wingi wa maji Ndg. Ali Ameir Mwalim, hafla hiyo imefanyika katika viwanja vya Ikulu Zanzibar.
 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akimtunuku Nishani ya Ushujaa Mwananchi wa Mkoa wa Kusini Unguja Ndg. Muhammad Haji Muhammad, kwa ujasiri aliouonesha kumuyokoa mwananchi aliyeingia katika kisiwa na kumuokoa akiwa hai.hafla hiyo ya kutunuku Nishani za Mapinduzi katika viwanja vya Ikulu Zanzibar.
 /RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akiwa ameshimama wakati ukipigwa wimbo la Taifa baada ya kuwasili katika viwanja vya Ikulu Zanzibar, kwa ajili ya Kutunuku Nishani za Mapinduzi kwa Viongozi na Wananchi kuadhimisha Miaka 55 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
 RAIS Mstaaf wa Tanzania Awamu ya Pili Mhe. Ali Hassan Mwinyi , akisalimiana na Mke wa Rais wa Kwanza wa Zanzibar Marehemu Mzee Abeid Amani Karume, Mama Fatma Karume, alipowasili katika viwanja vya Ikulu Zanzibar, kuhudhuria hafla ya kutunukiwa Nishani Viongozi na Wananchi.
 BAADHI ya Viongozi Wastaaf na Wawakilishi wa Marehemu wakiwa katika viwanja vya Ikulu Zanzibar wakisubiri kutunukia Nishani za Mapinduzi na Utumishi Uliotukuka,
 BENDI ya Brassband ya Jeshi la Polisi Zanzibar ikitowa burudani wakati wa hafla ya Utuaji wa Nishaji ya Mapinduzi na Uongozi Uliotukuka, katika viwanja vya Ikulu Zanzibar.
BAADHI ya Viongozi wa Serikali wakiwa wamesimama wakati ukipigwa Wimbo wa Taifa katika viwanja vya Ikulu Zanzibar,wa kwanza Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja. Mhe. Ayoub Mohammed Mahmoud,Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe. Omar Othman Makungu, Rais Mstaaf wa Tanzania Mzee Ali Hassan Mwinyi, Mama Fatma Karume na Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar. Mhe Zuberi Ali Maulid.
 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Mkuu wa Brigedi ya Nyuki Zanzibar Brigedia Jenerali Fadhil Nondo, baada ya kumaliza hafla ya Kutunuku Nishani za Mapinduzi na Uongozi Uliotukuka, kushoto Katika Mkuu Kiongozi na Katibu wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Abdulhamid Yahya Mzee.
 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akiteta na Rais Mstaaf wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Awamu ya Pili Mzee. Ali Hassan Mwinyi, wakiwa katika viwanja vya Ikulu Zanzibar, wakati wa hafla ya kutunuku kwa Nishani za Mapinduzi na Uongozi Uliotukuka.
 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi na Wawakilishi wa Familia za Marehemu waliowakilisha katika kupokea Nishani kwa niaba ya familia.
 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akiwa katika picha ya pamoja na Wananchi waliotunukiwa Nishani ya Mapinduzi na Uongozi Uliotukuku, baada ya hafla ya kukabidhiwa Nishani hizo katika viwanja vya Ikulu Zanzibar.
 BAADHI ya Wananchi na Viongozi Wastaaf waliotunikiwa Nishani ya Mapinduzi na UYongozi Uliotukuka wakitoka katika viwanja vya Ikulu Zanzibar baada ya kumalizika kwa hafla hiyo ya kutunukiwa Nishani na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein. (Picha na Ikulu)

No comments: