Advertisements

Tuesday, February 12, 2019

RAIS DKT. SHEIN AFANYA ZIARA WILAYA YA MJINI NA KUWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA MNARA WA TANGI LA MAJI KILIMANI

MNARA wa Tanki la Maji Safi na Salama linalojengwa katika eneo la Mnara wa Mbao Kilimani Zanzibar, likiendelea na ujenzi wake, lililowelkwa jiwe la Msini leo na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akiwa katika ziara yake Wilaya ya Mjini kutembelea Miradi ya Maendeleo ya Wilaya hiyo.(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Wajenzi wa Kampuni ya Stecol kutoka China wanaojenga Mnara huo wa Tangi la Maji katika eneo la Mnara wa Mbao Kilimani Zanzibar.(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akihutubia wakati wa hafla ya uwekaji wa jiwe la msingi Mradi ya Ujenzi wa Tanki Jipya la Maji linalojengwa Mnara wa Mbao Kilimani Zanzibar.(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akiweka jiwe la Msingi la Ujenzi wa Mnara wa Tanki la Maji Safi na Salama katika eneo la Kilimani Mnara wa Mbao Zanzibar.(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akiwa na Waziri wa Ardhi.Maji Nishati na Makaazi Zanzibar Mhe. Salama About Talib, wakati akiwasili katika viwanja vya Ujenzi wa Mradi wa Mnara wa Tanki la Maji kilimani Mnara wa mbao Zanzibar, akiwa katika ziara yake Wilaya ya Mjini Unguja.(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akimsikiliza Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Maji Zanzibar (ZAWA) Ndg.Mussa Ramadhan Haji, akitowa maelezo ya ujenzi wa Mradi Mnara wa Tanki la Maji katika eneo la Mnara wa Mbao Kilimani akiwa katika ziara yake Wilaya ya Mjini Unguja,kushoto kwa Rais Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein na kulia Waziri wa Ardhi.Maji Nishati na Makaazi Zanzibar. Mhe. Salama Aboud Talib.(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, kushoto Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ Mhe. Haji Omar Kheri, Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein na kulia Waziri wa Ardhi Maji Nishati na Makaazi Mhe. Salama Aboud Talib, wakiimba wimbo wa Sisi Sote Tumegomboka, wakati  ziara yake katika Wilaya ya Mjini Unguja.(Picha na Ikulu)
/MKUU wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe. Ayoub Mohammed Mahmoud. Akizungumza wakati wa Ziara ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, katika hafla ya uwekaji wa jiwe la msingi la Mnara wa Tangi  jipya la maji katika eneo la mnara wa mbao kilimani Zanzibar.(Picha na Ikulu)





No comments: