ANGALIA LIVE NEWS

Wednesday, August 14, 2019

IGP SIRRO AZUNGUMZA NA WANANCHI WA MBURAHATI

Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro, akizungumza na wakazi wa Kata ya Mburahati, Kigogo jijini Dar es salaam leo, wakati alipofanya ziara ya kushtukiza kwenye Kata hiyo kwa lengo la kujua changamoto wanazokutananazo pamoja na namna wanavyoshirikiana na Jeshi hilo katika kuzuia uhalifu na wahalifu katika maeneo yao wanayoishi. (Picha na Jeshi la Polisi).

No comments: