RAIS SAMIA AFUTURISHA ZANZIBAR
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan,
akiwa na Rais wa Zanzibar Dkt. Hussein Ali Mwinyi na Waziri Mkuu Kassim
Majaliwa, alipofutarisha Viongozi na Wananchi mbalimbali wa Zanzibar
Ikulu ndogo Tunguu Zanzibar Jana tarehe 07 Aprili 2022.(picha na Ikulu).
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia
Suluhu Hassan, akiagana na Viongozi na
Wananchi mbalimbali wa Zanzibar baada ya futari aliyoiandaa Jana tarehe 07 Aprili 2022 Ikulu
ndogo Tunguu Zanzibar . Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia
Suluhu Hassan, akiagana na Rais wa Zanzibar Dkt. Hussein Ali Mwinyi baada ya futari
aliyoiandaa Jana tarehe 07 Aprili 2022 Ikulu ndogo Tunguu Zanzibar .
No comments:
Post a Comment