Advertisements

Saturday, August 13, 2022

WAZIRI JAFO AELEKEZA WAKURUGENZI KUSIMAMIA UPANDAJI MITI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt.
Selemani Jafo akipanda mti wakati wa uzinduzi wa Kampeni ya ‘STAMICO na
Mazingira At 50’ iliyoambatana na tukio la upandaji miti katika eneo la wazi
Ipagala jijini Dodoma ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 50 ya Shirika la
Madini la Taifa (STAMICO).

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt.
Selemani Jafo akizindua Kampeni ya ‘STAMICO na Mazingira At 50’ iliyoambatana
na tukio la upandaji miti katika eneo la wazi Ipagala jijini Dodoma ikiwa ni
sehemu ya maadhimisho ya miaka 50 ya Shirika la Madini la Taifa (STAMICO).

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt.
Selemani Jafo (katikati) akishiriki mazoezi ya viungo na viongozi wengine kulia
Waziri wa Madini Mhe. Dkt. Doto Biteko na Mkuu wa Mkoa Dodoma Rosemary
Senyamule wakati wa uzinduzi wa ‘STAMICO na Mazingira At 50’ iliyoambatana
na tukio la upandaji miti katika eneo la wazi Ipagala jijini Dodoma ikiwa ni
sehemu ya maadhimisho ya miaka 50 ya Shirika la Madini la Taifa (STAMICO).



Waziri wa Madini Mhe. Dkt. Doto Biteko akizungumza wakati wa uzinduzi wa
‘STAMICO na Mazingira At 50’ iliyoambatana na tukio la upandaji miti katika eneo
la wazi Ipagala jijini Dodoma ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 50 ya
Shirika la Madini la Taifa (STAMICO).



Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Rosemary Senyamule akzungumza wakati wa wakati
wa uzinduzi wa ‘STAMICO na Mazingira At 50’ iliyoambatana na tukio la upandaji
miti katika eneo la wazi Ipagala jijini Dodoma ikiwa ni sehemu ya maadhimisho
ya miaka 50 ya Shirika la Madini la Taifa (STAMICO).

 

No comments: