Advertisements

Wednesday, April 24, 2024

KATIBU MKUU, CCM AWAPONGEZA MABALOZI WAKIKAMILISHA WARSHA YA SIKU 4 KIBAHA


Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Emmanuel Nchimbi akizungumza na Mabalozi wa Tanzania wanaoshiriki warsha ya siku 4 katika Chuo cha Uongozi cha Mwalimu Julius Nyerere mjini Kibaha, Pwani.

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. January Makamba akizungumza wakati akiongoza warsha ya siku 4 ya Mabalozi iliyofanyika katika Chuo cha Uongozi cha Mwalimu Julius Nyerere mjini Kibaha, Pwani.

No comments: