Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Biteko (Mb)wakati akiwasilisha bungeni Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Nishati kwa Mwaka wa Fedha 2024/25 katika Mkutano wa Kumi na Tano Kikao cha Kumi na Tatu.
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Biteko (Mb), ameliambia bunge kuwa katika mwaka 2023/2024 kuwezo wa mitambo ya kufua umeme iliyounganishwa kwenye mfumo wa Gridi ya Taifa umepanda kutoka Megawati (MW) 1,872.1 na kufikia Megawati (MW) 2,138, sawa na ongezeko la asilimia 14.2%.
No comments:
Post a Comment