Advertisements

Thursday, August 3, 2017

Bodi ya Korosho yatangaza upatikanaji wa mbolea ya Salfa kwa wakulima wa korosho

Katibu na Mwanasheria toka Bodi ya Korosho Bi. Ugumba Kilasa (kushoto) akifafanua jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati akielezea upatikanaji wa mbolea ya Salfa kwa wakulima wa korosho mapema hii leo jijini Dar es Salaam, kulia ni Mkaguzi wa ndani wa bodi hiyo Bw. Christopher Mwaya.
Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza Mkaguzi wa ndani toka Bodi ya Korosho Bw. Christopher Mwaya wakati akielezea upatikanaji wa mbolea ya Salfa kwa wakulima wa korosho mapema hii leo jijini Dar es Salaam.
Picha na Eliphace Marwa – Maelezo.

No comments: