Picha ya mama enzi ya uhai wake ikiwa kwenye meza wakati wa Ibada ya misa ya kumuaga mpendwa wetu mama Cecilia Korassa siku ya Jumamosi Aug 31, 2019 katika kanisa la Kilutheri la Swahili.
Familia ya marehemu ikiongozwa na mtoto wake Jacqueline na mumewe Andrew Tandau ikifuatilia ibada ya misa ya mpendwa mama yao.
Mchungaji John Mbatta akiongoza ibada ya misa ya kumuaga mpendwa mama yetu Cecilia Korassa.
Wachungaji na mapadre wakiombea familia.
Jacqueline akishindwa kujizuia akijifuta machozi wakati wa ibada ya mpendwa mama yetu.
Familia ikifuatilia ibada ya misa ya kumuaga mpendwa mama yetu.
Kwa picha zaidi bofya soma zaidi.
Picha na Iska Jojo Studio
Kwa picha zaidi BOFY HAPA
No comments:
Post a Comment